top of page

Welcome to

Simba Sport Club

October 01, 2016

Kichuya

The King

Mshambuliaji huyo aligundua maisha yake yamebadilika baada ya kurejea kwao Morogoro, mara tu baada ya mechi ya Yanga dhidi ya Simba ambayo yeye alifunga bao la kusawazisha katika dakika za mwisho na matokeo kuwa 1-1.

 

Kichuya kama kama mfalme, kwani hats madereva taxi na wale wa bodaboda hawataki malipo wanapomchukua.

 

 

Inaonekana watu wa Morogoro hata wasio mashabiki wa Simba wanajivunia kutokana na kazi nzuri anayoifanya.

 

Kichuya amekuwa na mafanikio makubwa katika mechi chache tu alizoichezea Simba kutokana na mchango wake mkubwa katika upachikaji mabao pamoja na kutoa pasi.

 

Hata hivyo, Kichuya amekuwa akisema kwamba hawezi kubweteka hata kidogo kutokana na namna watu wanayoonyesha kumjali badala yake ataongeza juhudi zaidi.

October 04, 2016

Simba Sc On Field

Simba Sport Club

Baada ya mechi yake dhidi ya watani wake Yanga, Simba imeendelea na mazoezi leo kujiandaa na mechi ijayo dhidi ya Mbeya City.

 

Kikosi cha Simba chini ya Kocha Joseph Omog kimefanya mazoezi kwenye Uwanja wa Kinesi enero la Shekilango, Ubungo jijini Dar es Salaam.

 

 

 

Simba inajiandaa na mechi ya ugenini dhidi ya Mbeya City ambayo inatarajiwa kuwa ngumu kwao kwa kuwa Mbeya City itakuwa nyumbani na inahitaji pointi tatu.

â—„

1 / 1

â–º

Please reload

site found on Aprial 8th 2016

this is Official Tanzania League Sport's 

  • Facebook Social Icon
  • Twitter Social Icon
  • Google+ Social Icon
  • YouTube Social  Icon
  • Pinterest Social Icon
  • Instagram Social Icon
bottom of page